Tuchel atimuliwa PSG, hizi hapa namba zake

Kocha Thomas Tuchel

Klabu ya PSG imemfuta kazi kocha Thomas Tuchel, ikiwa ni masaa machache baada ya kukiongoza kikosi hicho kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya Strasbourg na kocha wa zamani wa Tottenham, Mauricio Pochettino anatajwa kama mbadala wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS