Kiwanja cha CCM kilichoporwa charejeshwa

Mkuu wa TAKUKURU wilayani Kiteto, Venance Sanga, (wa kwanza kushoto).

TAKUKURU mkoani Manyara, imefanikiwa kurejesha kiwanja ambacho ni mali ya  Chama cha Mapinduzi (CCM), ambacho kiliporwa na kuuzwa na Mwenyekiti wa CCM Kata, huku pia ikifanikiwa kurejesha zaidi ya Mil. 6 za mstaafu ambaye alitapeliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS