Harmonize auponda muziki wa Bongo Club

Msanii na boss wa Konde Music Worldwide Harmonize

Msanii na Boss wa lebo ya Konde Gang Music Harmonize amewaunga mkono ma-Dj's wa kitanzania kwa kutocheza miziki ya kibongo kwenye kumbi za starehe kwa kusema wasanii wanataja sana viungo vya pilau kwenye nyimbo zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS