Rais Magufuli atoa ahadi kwa Rais Mwinyi Rais Magufuli (kulia) na Rais Mwinyi (kushoto) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameahidi kufanya kazi kwa ukaribu mkubwa na Rais wa Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi. Read more about Rais Magufuli atoa ahadi kwa Rais Mwinyi