Rais Magufuli apendekeza tena jina la waziri Mkuu Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, leo amependekeza jina la Mhe. Kassim Majaliwa, Mbunge wa Ruangwa kuwa Waziri Mkuu. Read more about Rais Magufuli apendekeza tena jina la waziri Mkuu