Mjue hakimu wa dabi kati ya Yanga na Simba

Mwamuzi Elly Sasii(Pichani) ndiye atakayeamua mchezo kati ya Yanga na Simba utakaochezwa kesho.

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF limetaja majina ya waamuzi watakaochezesha dabi kati ya Yanga na Simba itakayochezwa kesho katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS