Hamisa Mobetto avunja ukimya, msikie alichosema
Msanii wa BongoFleva na filamu, Video Vixen, Mjasiriamali Hamisa Mobetto amevunja ukimya kwa kusema yeye sio mtu wa kukata tamaa kwani anaamini kwenye ndoto zake na ukisikiliza watu wanavyosema hutofika.