Kusaya atoa maagizo haya kwa wakandarasi

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya ametoa agizo kwa wakandarasi wanaojenga miradi ya ujenzi wa vihenge vya kisasa na maghala kukamalisha kazi hiyo ifikapo mwezi Desemba mwaka 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS