Serikali yajipanga Tabata Msimbazi

Godfrey Anthony Kizibo, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Tabata Msimbazi.

Wakazi wa Mtaa wa Tabata Msimbazi wamelalamikia  ubovu wa miundombinu katika mtaa huo jambo ambalo limekua kero kwa wakazi wa mtaa huo na kuhatarisha afya na usalama ya wakazi hao. Akizungumza na Kurasa Mjumbe wa mtaa huo Zamda Alphonce,ameongea kwa niaba ya wananchi na kusema,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS