Magufuli asema neema inakuja kwa wafanyakazi
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 20 Oktoba akiwa Korogwe (Tanga) amewambia mamia kwa maelfu ya waliojitokeza kumsikiliza kuwa kwa miaka mitano ijayo wafanyakazi wataboreshewa maslahi yao na kuongeza kuwa malimbikizo yao