Mgombea Urais ADC aahidi kufufua vyuo vya ufundi

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Sendiga.

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Sendiga amesema kuwa akipatiwa ridhaa ya kuliongoza taifa Oktoba 28, 2020 atahakikisha anavipatia hadhi ya juu vyuo vya ufundi nchini VETA ili kuongeza viwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS