Ajinyonga baada ya kuzuiliwa kurudi nyumbani usiku

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro Wilbroad Mutafungwa.

Mwanafunzi aliyemaliza darasa la 7 wiki iliyopita katika shule ya msingi Njungwa, Kijiji cha  Ngayaki wilayani Gairo, Rahel Yohana (14), amekutwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kanga huku chanzo kikitajwa ni ugomvi kati yake na mama yake mzazi aliyekuwa akimkataza kurudi nyumbani usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS