Mvua Dar, zapelekea Samaki kuadimika sokoni
Mvua zilizonyesha Jijini Dar es Salaam zinadaiwa kuathiri upatikanaji wa samaki kutokana na wavuvi wengi kushindwa kuingia baharini hali iliyoleta adha kwa wafanyabiashara wa samaki mtaani licha ya changamoto zingine zinazowakabili.