Mbwa na Farasi kulinda amani wakati wa uchaguzi

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, amesema serikali kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi haitosita kutumia mbinu mbadala za ulinzi wa Mbwa na Farasi wanaopatiwa mafunzo ili kuwadhibiti wale wote watakaochochea uvunjifu wa amani ya nchi katika kuelekea uchaguzi mkuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS