Manara asema Yanga itamaliza nafasi ya tatu VPL
Baada ya Klabu ya Azam FC kuwa na muendelezo mzuri kwenye Ligi Kuu soka Tanzania Bara msimu huu, msemaji wa Simba Haji Manara amesema wanaweza kushika nafasi ya pili nyuma yao huku akiwatabiria watani zao Yanga kumaliza katika nafasi ya tatu msimu huu.