Manara asema Yanga itamaliza nafasi ya tatu VPL

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara katika moja ya Mkutano na Waandishi wa Habari.

Baada ya Klabu ya Azam FC kuwa na muendelezo mzuri kwenye Ligi Kuu soka Tanzania Bara msimu huu, msemaji wa Simba Haji Manara amesema wanaweza kushika nafasi ya pili nyuma yao huku akiwatabiria watani zao Yanga kumaliza katika nafasi ya tatu msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS