Azam kuzigomea Bilioni 2.3 za Raja Casablanca

Mshambuliaji matata wa Azam Fc, Prince Dube( Kushoto) akipongezwa na Daniel Amoah( Kulia) baada ya kufunga bao.

Uongozi wa Klabu ya Azam umesisitiza kwamba licha ya uwepo wa taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba Raja Casablanca ya Morocco imekusudia kulipa kiasi cha Bilioni 2.3 za kitanzania kumsaini mshambuliaji wao Prince Dube, wao hawatomuuza nyota huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS