Lipumba aahidi neema kwa wananchi wa Mbeya

Mgombea urais kupitia CUF Profesa Ibrahim Lipumba

Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wananchi,(CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa atahakikisha anaongeza upatikanaji wa umeme nchi nzima kwa kufua umeme wa megawatt 100 mpaka 200 kwa kutumia mradi wa makaa ya mawe yanayopatikana Kiwira wilayani Kyela mkoani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS