Samia aeleza haya mkutano wa sekta binafsi

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, ametaja sababu Rais Dkt.John Pombe Magufuli kutokuudhuria mkutano wa sekta binafsi uliobeba lengo la kumpongeza kwa mafanikio yaliyopatikana ndani ya miaka mitano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS