Lissu aahidi kuboresha sekta ya uchumi
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Serikali yake itaboresha sekta zote za kiuchumi, kikiwamo kilimo, uvuvi na maslahi ya watumishi wa umma, iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.