Magufuli amkabidhi nyumba Mwinyi,akagua ya Kikwete
Rais Mstaafu mwinyi na Mkewe wakiwa wameshikilia mfano wa funguo baada ya kukabidhiwa na Rais John Pombe Magufuli nyumba waliyojengewa kwa mujibu wa sheria.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli, amewataka wakandarasi kuharakisha ujenzi wa nyumba ya Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya Kikwete.