Lissu aahidi kuboresha sekta ya uchumi

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Serikali yake itaboresha sekta zote za kiuchumi, kikiwamo kilimo, uvuvi na maslahi ya watumishi wa umma, iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS