Yaliyomkuta Harmonize ndiyo yamemkuta na Ibraah Tz
Mara kadhaa msanii na CEO wa lebo ya Konde Gang, Harmonize amekuwa akipata usumbufu wa kutolewa na kurudishwa kwa video za nyimbo zake kwenye mtandao wa YouTube baada ya kupandisha video hizo kwenye mtandao huo.