Masauni atoa tamko vurugu zinazoendelea Zanzibar Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ametoa onyo kwa watu wenye nia ovu ya kuvuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28,mwaka huu. Read more about Masauni atoa tamko vurugu zinazoendelea Zanzibar