Masauni atoa tamko vurugu zinazoendelea Zanzibar

Naibu Waziri wa Mambo ya  Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.

Naibu Waziri wa Mambo ya  Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ametoa onyo kwa watu wenye nia ovu ya kuvuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28,mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS