Producer S2Kizzy avamiwa na kupigwa studio
Mtayarishaji wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Tanzaniza Producer S2Kizzy ameeleza kuwa amevamiwa studio kwake ya 'pluto world' iliyopo Sinza Lion, kisha kupigwa na kufanyiwa uharibifu wa vifaa vyake na watu wanaodai wao ni walinzi shirikishi.