Nyambui amkumbuka Hayati Nyerere

Suleiman Nyambui ambaye kwa sasa anafundisha mchezo wa riadha nchini Brunei

Mwanariadha nyota wa zamani mbio ndefu wa Tazania Suileman Nyambui, amemtaja Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwamba ndio chanzo cha mafanikio ya riadha wakati wa utawala wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS