Suleiman Nyambui ambaye kwa sasa anafundisha mchezo wa riadha nchini Brunei
Mwanariadha nyota wa zamani mbio ndefu wa Tazania Suileman Nyambui, amemtaja Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwamba ndio chanzo cha mafanikio ya riadha wakati wa utawala wake.