Kiduku amsifu Waziri Mwakyembe

Waziri mwenye dhamana ya michezo Dokta Harrison Mwakyembe akizungumza na Waandishi kwenye moja ya mkutano.

Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amesema hamasa katika ndondi imetokana na waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Dkt Harrison Mwakyembe kuunda kamisheni ya ngumi ambayo imekuwa inatetea masilahi ya mabondia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS