Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za uongozi

Mkurugenzi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Rose Reuben.

Ushiriki wa Wanawake katika siasa na uongozi bado ni mdogo ukilinganishwa na wanaume nchini, kwani hadi sasa ni asilimia 37 pekee ya wanawake ndio wanaoshika nyadhfa za juu katika ngazi za maamuzi ikiwemo Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS