Magufuli amkumbuka Makonda kwa hili

Kushoto ni aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kulia ni mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli.

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli, amesema kuwa mtu wa kwanza aliyeomba ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Ubungo ni aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, na ndipo ujenzi huo ulipoanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS