Tulia amtuliza Sugu, Mbeya Mjini

Pichani ni Dkt Tulia Ackson, Mshindi mteule wa Ubunge, Jimbo la Mbeya Mjini.

Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM) Dkt. Tulia Ackson, ametangazwa mshindi katika kinyang'anyiro cha Ubunge katika jimbo la Mbeya mjini, kwa kura 75,225 akiwashinda washindani wake kutoka vyama vingine vya upinzani akiwamo mshindani wake mkuu kisiasa kutoka,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS