Wananchi wavunja kingo za mfereji Kijitonyama
Wananchi wa mtaa wa Chakula Bora, Kijitonyama Jijini Dar es Salaam, leo wamevunja kingo za mfereji uliopo katika barabara ya Salma Kikwete ili kuyaelekeza maji yaliyoingia ndani ya nyumba zao kupita kwenye mfereji huo