Kayuni alia na Serikali kutorejesha hili shuleni

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ufundi wa TFF, Sunday Kayuni akikabidhi cheti kwa mmoja wa wanafunzi wa kozi za mpira nchini.

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa ufundi wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF, Sunday Kayuni amesema ataendelea kulia na Serikali kwa kutorejesha mitaala ya michezo mashuleni jambo analoamini ninakwamisha maendeleo ya michezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS