Barabara ya Mkwajuni yajaa maji

Barabara ya Mkwajuni ikiwa imejaa maji

Wakazi wa eneo la Mkwajuni Kinondoni jijini, Dar es Salaam, wameiomba serikali kujenga daraja katika Barabara hiyo kutokana na adha inayojitokeza wakati wa mvua ambayo hupelekea barabara kufungwa kutokana na kushindwa kupitika kwa urahisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS