Prof. Lipumba aahidi mfumo mzuri wa fedha  

Mgombea urais kupitia CUF Profesa Ibtahim Lipumba, akizungumza na wananchi wa mkoa wa Tanga

Mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, ameahidi kuimarisha biashara katika mkoa wa Tanga, kufufua viwanda vilivyokufa pamoja kutoza kodi rafiki kwa wafanyabiashara ili kuinua uchumi wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS