Mkumbo amuangusha aliyewahi kuwa Meya Ubungo

Kushoto ni Mbunge mteule wa jimbo la Ubungo Kitila Mkumbo na kulia ni aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA Boniface Jacob

Mgombea wa ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, Kitila Mkumbo, ameibuka mshindi  katika uchaguzi wa jimbo la Ubungo dhidi ya mgombea wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS