Wakazi ashindwa Jimbo la Ukonga

Msanii na aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga Wakazi Webiro Wasira

Msanii wa HipHop Webiro Wasira 'Wakazi' ameshindwa kuchukua nafasi ya Ubunge ambalo alikuwa anagombea Jimbo la Ukonga kupitia Chama Cha ACT-Wazalendo ambalo limeenda kwa mshindi Jerry William Slaa kutoka Chama Cha Mapinduzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS