Magufuli Rais mteule wa Tanzania 2020 - 2025

Rais mteule wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, leo Oktoba 30, 2020, amemtangaza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM, kuwa mshindi wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kupata kura milioni 12,516,252.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS