Wafanyakazi Muhimbili wahimizwa utoaji lugha nzuri
Mkurugenzi wa hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Lawrance Mseru
Mkurugenzi wa hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Lawrance Mseru, amewataka wafanyakazi wa hospitali hiyo kuwa na lugha mzuri kwa watu wanaowahudumia ili kuleta tija na ufanisi wa kazi.