Julio amtaja Mkude baada ya Stars kufungwa
Kocha wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20, Jamhuri Kikwelu ''Julio'' amesema kutolewa kwa Jonas Mkude kwa kadi nyekundu ndio sababu kubwa iliyopelekea Taifa Stars kufungwa bao 1-0 na Burundi.