Rais Magufuli amfuta kazi aliyechana Quran

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemuagiza Waziri wa TAMISEMI Seleman Jafo, kuhakikisha anamuandikia barua ya kumfukuza kazi mfanyakazi wa Wizara hiyo aliyechana na kuitemea mate Quran Takatifu mkoani Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS