Masau Bwire amtia mkwara Morrison wa Yanga

Masau Bwire na Bernard Morrison

Kuelekea mchezo wa leo wa ligi kuu soka Tanzania bara kati ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting, msemaji wa Ruvu Masau Bwire ameweka wazi kuwa hawatamvulimia Morrison kwa vitendo vyake vya kutembea juu ya mpira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS