Mazishi ya Moi huenda akasubiriwa Rais Kenyatta

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, kulia ni Rais Mstaafu Daniel Moi wakati wa uhai wake.

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Pili wa Jamhuri ya Kenya, Daniel Arap Moi, tayari umekwishapelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kinachoitwa Cha Lee, kilichopo jijini Nairobi nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS