'Tayari tumetenga chumba maalum' -  Jokate

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh Jokate Mwegelo

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh Jokate Mwegelo, amesema baada ya kupokea msaada wa vifaa tiba kwaajili ya watoto Njiti kutoka Doris Molllel Foundation, tayari wameshatenga jengo maalum kwaajili ya kuanza kutoa huduma hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS