T-Touch aingilia ugomvi wa Alikiba na Man Water

Kutokea upande wa kushoto ni Mr T-Touch, Alikiba na Man Water

Producer Mr T-Touch ameuingilia ugomvi wa msanii Alikiba na producer wake wa zamani Man Water, juu ya tofauti zao ambazo zinaendelea kwa sasa za kudaiana pesa na kufutiana nyimbo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS