CAG alalamikia mishahara midogo kwa wafanyakazi

Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali(CAG), Charles Kichere.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema ofisi yake inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwamo mishahara midogo kwa wafanyakazi na kusababisha kupunguza ari ya utendaji kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS