Mama Sitta aangua kilio Bungeni

Mama Margaret Sitta akilia bungeni, kulia ni Marehemu Samwel Sitta.

Mke wa aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marehemu Samwel Sitta, Bi Margaret Sitta, leo ameangua kilio bungeni wakati akipokea joho alilokuwa akilivaa marehemu mumewe wakati wa kuongoza vikao vya Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS