Yanga yaibuka na sakata la Kabwili

Ramadhani Kabwili

Uongozi wa klabu ya Yanga umeibuka na sakata la tuhuma za upangaji matokeo zilizoibuliwa na mlinda mlango, Ramadhani Kabwili alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Kipenga Xtra cha East Africa Radio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS