Yanga yaibuka na sakata la Kabwili Ramadhani Kabwili Uongozi wa klabu ya Yanga umeibuka na sakata la tuhuma za upangaji matokeo zilizoibuliwa na mlinda mlango, Ramadhani Kabwili alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Kipenga Xtra cha East Africa Radio. Read more about Yanga yaibuka na sakata la Kabwili