"Mnakwamisha michezo, sitawavumilia" - Mwakyembe

Waziri Mwakyembe na maafisa michezo

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amewaagiza maafisa michezo wote chini kubadilika katika utendaji wao kutokana na kulalamikiwa na wadau wengi wa michezo namna ambavyo wanashughulikia sekta hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS