"Mnakwamisha michezo, sitawavumilia" - Mwakyembe
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amewaagiza maafisa michezo wote chini kubadilika katika utendaji wao kutokana na kulalamikiwa na wadau wengi wa michezo namna ambavyo wanashughulikia sekta hiyo.