"Simba walitaka nipate kadi, wanipe IST" - Kabwili
Mlinda mlango wa klabu ya Yanga, Ramadhan Kabwili ametoa tuhuma nzito kuwa aliwahi kufuatwa na uongozi wa klabu ya Simba wakitaka atafute kadi ili asicheze mchezo wa watani na wampatie gari aina ya IST.