Dunia yamlilia Kobe Bryant, Obama, Trump wanena Kobe Bryant na mwanaye 'Ginni' Bingwa mara tano wa ligi ya kikapu nchini Marekani (NBA), Kobe Bryant amefariki katika ajali ya ndege binafsi aliyokuwemo yeye na watu wengine saba kwa mujibu wa ripoti mbalimbali nchini Marekani. Read more about Dunia yamlilia Kobe Bryant, Obama, Trump wanena