Simba na Yanga kukutana uso kwa uso kesho

Manahodha wa Yanga na Simba pamoja na makocha

Ligi kuu ya soka ya Wanawake Tanzania Bara, kesho Desemba 14, 2019 itaendelea kwa mechi ya 4 kwa kila timu, ambapo macho na masikio ya wengi yatakuwa katika Uwanja wa TFF Karume, katika mchezo wa Derby ya Kariakoo ya wanawake baina ya Simba Queens dhidi ya Yanga Princess.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS