Serikali kuikarabati Shule aliyosoma Mwl. Nyerere

Picha ya Darasa alilosoma Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Serikali imeamua kuifanyia ukarabati mkubwa Shule ya Msingi Mwisenge, ambayo alisoma Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere ili iwe sehemu ya historia ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS