''Angekuwepo mama yangu asingeniacha'' - Namara

Msichana Namara George ambaye hakuwahi kumjua mama yake kwa zaidi ya miaka 30, baada ya kutenganishwa naye, amesema moja ya tukio lililomuumiza sana maishani mwake, na kutamani uwepo wa mama yake ili kumfariji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS