Rais Magufuli atengua na kuteua

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala ya Nishati ya Umeme Vijijini (REA), Michael Pius Nyagoga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS