Ligi ya Tanzania yajihakikishia wawili AFCON
Timu mbalimbali za taifa zilizofuzu michuano ya AFCON 2019 nchini Misri, zimeendelea kutaja vikosi vyake huku Zimbabwe ikiwa ni moja ya nchi zilitangaza wachezaji wake kamili 23 watakipiga huko na miongoni mwao wawili wanatoka TPL.